⬅️ شرح حديث: {من قال لا إله إلا الله دخل الجنة}
Sherhe ya hadith : atakaesema LAA ILAAHA ILLALLAH ataingia peponi.
١ • سئل الحافظ #عبد_الغني_المقدسي (ت ٦٠٠) رحمه الله عن حديث:
Aliulizwa al haafidh Abdul ghaniy Al maqdisiy alifariki mwaka 600H Rahimahullah kutokana na hadith :
من قال لا إله إلا الله دخل الجنة، هل هو منسوخ؟
Atakaesema LAA ILAAHA ILLALLAH ataingia peponi je ilifutwa ?
فأجاب: {بل هو محكم ثابت؛ لكن زيد فيه، وضم إليه شروط أخر، وفرائض فرضها على عباده}
Akajibu : bali hiyo ni inahukumu na Imethibiti, lakini ziada kwayo, na imekusanya kwake masharti mengine,na faradhi zilizofaradhishwa juu ya waja wake
📗 [ذيل الطبقات الحنابلة (٥٠/٣)]
٢ • قال #الزهري رحمه الله:
Amesema zuhriy Rahimahullah
{قال هشام بن عبد الملك: أبلغك أن رسول الله صلى الله عليه وسلم أمر مناديا ينادي:
Amesema hisham ibn Abdul malik : imekufikia yakua Rasulullah swallallahu alayhi wasalama aliamrisha mwenye kunadi anadi :
من قال لا إله إلا الله فله الجنة؟
Atakaesema LAA ILAAHA ILLALLAH basi pepo ni ya kwake ?
قال: قلت: نعم، وذاك قبل أن تنزل الفرائض، ثم نزلت الفرائض، فينبغي على الناس أن يعملوا بما افترض الله عز وجل عليهم.}
Akasema : umesema : Naam , na hilo lilikua kabla ya kushuka mafaradhi , kisha zilishuka faradhi , basi inawapasa Watu kufanyia kazi yale yaliofaradhishwa na allah mtukufu juu yao
📗 [#الإيمان للإمام أحمد (٧٥)]
• قال أبو الحارث: سألت أبا عبد الله #أحمد_بن_حنبل قلت:
Amesema Abul haarith : nilimuuliza Abaa Abdillahi Ahmad ibn hambal Nikasema :
إذا قال الرجل: لا إله إلا الله فهو مؤمن؟ قال:
Atakaposema mtu LAA ILAAHA ILLALLAH basi yeye ni mu'umin ? Akasema :
{كذا كان بدء #الإيمان ، ثم نزلت الفرائض: الصلاة، والزكاة، وصوم رمضان، وحج البيت.}
Hilo lilikua mwanzo wa imani, kisha zikashuka faradhi : Salah ,zaka, funga ya Ramadhan, na hijjah.
📗 [#السنة_للخلال (٩٣٩)

0 Comments