34-Hadiyth Al-Qudsiy: Mwenye Kupenda Kukutana Na Allaah Na Anayechukia Kukutana Naye

 Hadiyth Al-Qudsiy

Hadiyth Ya 34

Mwenye Kupenda Kukutana Na Allaah Na Anayechukia Kukutana Naye   

 

 

عَÙ†ْ Ø£َبِÙŠ Ù‡ُرَÙŠْرَØ©َ Ø£َÙ†َّ رَسُولَ اللَّÙ‡ِ صَÙ„َّÙ‰ اللَّÙ‡ُ عَÙ„َÙŠْÙ‡ِ ÙˆَسَÙ„َّÙ…َ Ù‚َالَ:  ((Ù‚َالَ اللَّÙ‡ُ Ø¥ِذَا Ø£َØ­َبَّ عَبْدِÙŠ Ù„ِÙ‚َائِÙŠ Ø£َØ­ْبَبْتُ Ù„ِÙ‚َاءَÙ‡ُ ÙˆَØ¥ِذَا ÙƒَرِÙ‡َ Ù„ِÙ‚َائِÙŠ ÙƒَرِÙ‡ْتُ Ù„ِÙ‚َاءَÙ‡ُ)) Ø§Ù„بخاري Ùˆ مالك

 Imepokelewa kutoka kwa Abua Hurayrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Allaah Amesema: Mja wangu akipenda kukutana na Mimi, Nami Hupenda kukutana naye; na akikirihika (akichukia) kukutana na Mimi, basi nami Hukirihika kukutana naye)) [Al-Bukhaariy na Maalik]

0 Comments