Du’aa Za Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam)

Kuomba Kinga Ya  Balaa Za Madhara,  Kukumbwa Na Uovu, 
Majaaliwa Mabaya, Bezo La Maadui






 Ø£Ù„Ù„َّÙ‡ُÙ…َّ Ø¥ِÙ†ِّÙŠ Ø£َعُوذُ بِÙƒَ Ù…ِÙ†ْ جَÙ‡ْدِ الْبَلاَØ¡ِ ÙˆَدَرَÙƒِ الشَّÙ‚َاءِ Ùˆَسُوءِ الْÙ‚َضَاءِ ÙˆَØ´َÙ…َاتَØ©ِ الأَعْدَاءِ
Allaahumma inniy a’uwdhu bika min jahdil-balaai wa darakish-shaqaai wa suw-il-qadhwaai, wa shamaatatil-a’daai

Ee Allaah hakika mimi najikinga Kwako na balaa za madhara [mitihani n.k] na kukumbwa na uovu na majaaliwa mabaya na bezo la maadui
[Al-Bukhaariy, Muslim]